Wiki kii katika kipindi cha Radio cha Danger Zone Life,
kinachopambanua mambo mbali mbali ya kijamii hapa nchini, kinakuletea
baadhi ya matumizi ya mitandao hususani ya Internet. Kipindi hiki
kinachoingia mtandaoni kila wiki, kimeeleza faida na njia mbadala za
kuweza kukunufaisha wewe mtumiaji wa mtandao wa Internet. Tunaomba
ushirikiano wako ili tuendelee kukunufaisha katika mambo mbali mbali ya
kijamii.
Karibu sana, ukitaka kudhamini kipindi hiki, usisite kuwasiana nasi katika barua pepe yetu yani...matangazotz@yahoo.com. SIKILIZA KIPINDI HIKI HAPA.
Karibu sana, ukitaka kudhamini kipindi hiki, usisite kuwasiana nasi katika barua pepe yetu yani...matangazotz@yahoo.com. SIKILIZA KIPINDI HIKI HAPA.