Wiki hii katika kipindi cha RADIO cha Danger Zone Life
kinachowekwa mtandaoni kila wiki, safari hii kimezungumzia vivutio
vyetu vinavyowasisimua watalii wa nje kuja kuvitembelea kwa wingi.
Lakini pia kimezungumzia jinsi watanzania na wananchi kwa ujumla jinsi wanavyokosa haki zao za msingi katika kufanya utalii wa ndani. Kipindi kikiongozwa na watangazaji mahiri kitakusogeza pale utakapo hitaji kufika. Sasa sikiliza na kupakua kipindi hiki hapa chini.....
Lakini pia kimezungumzia jinsi watanzania na wananchi kwa ujumla jinsi wanavyokosa haki zao za msingi katika kufanya utalii wa ndani. Kipindi kikiongozwa na watangazaji mahiri kitakusogeza pale utakapo hitaji kufika. Sasa sikiliza na kupakua kipindi hiki hapa chini.....
.